SAUTI YA INJILI SDA

Jarida La Injili
  • Nyumbani
  • Ibada
  • Maombi
  • Usomaji, Vidokezo
  • Wazo la Usiku
  • Facebook
  • App

You are browsing the Blog for TGVS.

Marko 13: Usomaji wa Biblia

Marko 13: Usomaji wa Biblia kwa Mpango/ Kitabu cha Marko sura ya 13/ Dhima: Dalili za Siku za Mwisho.   MARKO 13 1 Hata alipokuwa akitoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake alimwambia, Mwalimu, tazama, yalivyo mawe na majengo haya! 2 Yesu akajibu, akamwambia, Wayaona majengo haya makubwa? Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa. 3 Hata
...read more
...

Ishara za Nyakati

Ibada ya Alfajiri/ Dhima: Ishara za Nyakati/ Neno Muhimu: Kesheni.   Aya Kuu: “Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.” (Mk 13:37) Maswali ya Moyoni: Vitabu vingapi katika Biblia vinahusika na Unabii wa Siku za Mwisho? Ni sura ngapi katika vitabu vya Injili vinazungumzia somo hili muhimu? Marko sura ya 13 inahusu nini hasa? Ni
...read more
...

Marko 12: Usomaji wa Biblia

Marko 12: Usomaji wa Biblia kwa Mpango/ Kitabu cha Marko sura ya 12/ Dhima: Mabishano kati ya Yesu na Viongozi wa dini Hekaluni (11:27-12:44).   MARKO 12 1 Akaanza kusema nao kwa mifano; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akazungusha ugo, akachimba shimo la shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri. 2 Hata kwa wakati wake akatuma
...read more
...

Mjane na Senti Mbili

Ibada ya Afajiri/ Dhima: Mjane, Maskini na Senti Mbili/ Andiko Makini: Marko 12:41–44; Luka 21:1–4.   Fungu Kuu: “Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi. Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa. Akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Amin, nawaambia, Huyu mjane
...read more
...

Marko 11: Usomaji wa Biblia.

Marko 11: Usomaji wa Biblia kwa Mpango/ Kitabu cha Marko sura ya 11/ Dhima: Yesu Anaingia Yerusalemi (11:1-33). MARKO 11 1 Hata walipokaribia Yerusalemu karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, aliwatuma wawili katika wanafunzi wake, 2 akawaambia, Nendeni mpaka kile kijiji kinachowakabili; na katika kuingia ndani yake, mara mtaona mwana-punda amefungwa, asiyepandwa na
...read more
...

 
← Previous Entries

Today's Date

Sunday, May 29 th, 2022

Sign up for Mwongozo wa Biblia

* = required field
unsubscribe from list

Recent Posts

  • Walawi 21: Maswali & Majibu May 4, 2022
  • Walawi 20: Maswali na Majibu May 3, 2022
  • Walawi 20: Mdokezo wa Sura May 3, 2022
  • Usiwe na Miungu Mingine! May 3, 2022
  • Walawi 18: Maswali ya Kujadili May 1, 2022
  • Walawi 17: Maswali Na Majibu. April 30, 2022
  • Walawi 1: Usomaji/ Vidokezo April 14, 2022
  • Sadaka ya Kuteketezwa April 13, 2022
  • Israeli Wateswa huko Misri March 5, 2022
  • Kutoka 1: Usomaji wa Biblia March 4, 2022

Archives

Monthly View

May 2022
S M T W T F S
« Apr    
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  

Sauti Ya Injili SDA.

PO Box 1420
Cordova, TN  38018

Phone: +1 (901) 247-8901

Email: Injili@tgvs.org

Web: www.tgvs.org



Copyright BMA 2015. All Rights Reserved.