You are browsing the Blog for Mwongozo wa Ibada.

Hesabu 16: Mwongozo wa Ibada
Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Hesabu 16: Mwongozo wa Ibada/ 4-BSG-16A (Hesabu 16)/ Mada ya Leo: Utakatifu wa Mungu katika uongozi na ibada: hatari ya uasi na wito wa unyenyekevu mbele Zake Mwito wa Ibada: “Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mkasujudu katika mlima wake mtakatifu; kwa kuwa Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.” (Zaburi 99:9) Aya Kuu: “Bwana
...read more

Anza na Bwana, July 28, 2022
Anza na Bwana! Alhamisi: July 28, 2022. KUFANYA MKATABA NA ADUI (Yoshua 9:3-14) Katika sura hii, Yoshua kimakosa anafanya mkataba na adui, Wagibeoni. Yoshua alifanya kosa gani katika uamuzi wa kuwakubali watu wa Gibeoni? (9:14) Alichunguza chakula chao, lakini hawakushauriana na Bwana! Je, tunawezaje kujua mapenzi ya Mungu kwetu? Mungu anafurahia kufunua mapenzi Yake
...read more

Kitabu hiki cha Sheria
Mwongozo wa Ibada/ 6-BSG-1A, (Yoshua 1:7-8)/ Dhamira: Kitabu hiki cha Sheria/ Wimbo: Nipe Biblia (SDAH 272). Uchunguzi: Kitabu cha Sheria – (Kumb 31:24-26; Kumb 28:58-61; 29:18-21; 30:10; 2 Flm. 14:6; 2 Nya. 17:9; 25:4). Tafakari: Katika sura hii, tuna mambo yafuatayo: Utangulizi: Uchunguzi wa historia ya Israeli kutoka Misri hadi Kanaani (1-2); Amri ya
...read more

Kutimiza Nadhiri kwa Mungu
Kumbukumbu 23: Mwongozo wa Ibada/ 5-BSG-23A, (Kumbukumbu 23:21-23)/ Dhamira: Kutimiza Nadhiri za Kidini/ Wimbo: Take my life and let it be! Uchunguzi: Mwa. 28:20; Hes. 21:2; 30:2–16; Waamuzi 11:30; 1 Sam. 1:11; 2 Sam. 15:7 Tafakari: Angalau sheria nane Musa amezichanganua na kuzihimiza katika sura hii na kwa ajili ya mwenendo wa Israeli katika
...read more

Usiwe na Miungu Mingine!
Ibada ya Alfajiri: Walawi 20. / USIWE NA MIUNGU MINGINE! / Fungu Kuu: Walawi 20:1-3. Je BWANA anasema nini asubuhi ya leo? Anasema hivi: Mwisraeli yeyote au mgeni ye yote anayeishi katika Israeli ambaye hutoa watoto wake kwa Moleki (mungu wa Waamoni) [kama dhabihu ya kibinadamu] hakika atauawa; Watu wa nchi watampiga kwa mawe. Nami nitaweka Uso
...read more