Hesabu 16: Mwongozo wa Ibada

Hesabu 16: Mwongozo wa Ibada

Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Hesabu 16: Mwongozo wa Ibada/ 4-BSG-16A (Hesabu 16)/ Mada ya Leo: Utakatifu wa Mungu katika uongozi na ibada: hatari ya uasi na wito wa unyenyekevu mbele Zake Mwito wa Ibada: “Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mkasujudu katika mlima wake mtakatifu; kwa kuwa Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.” (Zaburi 99:9) Aya Kuu: “Bwana
...read more

Anza na Bwana, July 28, 2022

Anza na Bwana, July 28, 2022

Anza na Bwana! Alhamisi: July 28, 2022.   KUFANYA MKATABA NA ADUI (Yoshua 9:3-14) Katika sura hii, Yoshua kimakosa anafanya mkataba na adui, Wagibeoni. Yoshua alifanya kosa gani katika uamuzi wa kuwakubali watu wa Gibeoni? (9:14) Alichunguza chakula chao, lakini hawakushauriana na Bwana! Je, tunawezaje kujua mapenzi ya Mungu kwetu? Mungu anafurahia kufunua mapenzi Yake
...read more

Kitabu hiki cha Sheria

Kitabu hiki cha Sheria

  Mwongozo wa Ibada/ 6-BSG-1A, (Yoshua 1:7-8)/ Dhamira: Kitabu hiki cha Sheria/ Wimbo: Nipe Biblia (SDAH 272). Uchunguzi: Kitabu cha Sheria – (Kumb 31:24-26; Kumb 28:58-61; 29:18-21; 30:10; 2 Flm. 14:6; 2 Nya. 17:9; 25:4). Tafakari: Katika sura hii, tuna mambo yafuatayo: Utangulizi: Uchunguzi wa historia ya Israeli kutoka Misri hadi Kanaani (1-2); Amri ya
...read more

Kutimiza Nadhiri kwa Mungu

Kutimiza Nadhiri kwa Mungu

Kumbukumbu 23: Mwongozo wa Ibada/ 5-BSG-23A, (Kumbukumbu 23:21-23)/ Dhamira: Kutimiza Nadhiri za Kidini/ Wimbo: Take my life and let it be!   Uchunguzi: Mwa. 28:20; Hes. 21:2; 30:2–16; Waamuzi 11:30; 1 Sam. 1:11; 2 Sam. 15:7 Tafakari: Angalau sheria nane Musa amezichanganua na kuzihimiza katika sura hii na kwa ajili ya mwenendo wa Israeli katika
...read more

Usiwe na Miungu Mingine!

Usiwe na Miungu Mingine!

Ibada ya Alfajiri: Walawi 20. / USIWE NA MIUNGU MINGINE! / Fungu Kuu: Walawi 20:1-3. Je BWANA anasema nini asubuhi ya leo? Anasema hivi: Mwisraeli yeyote au mgeni ye yote anayeishi katika Israeli ambaye hutoa watoto wake kwa Moleki (mungu wa Waamoni) [kama dhabihu ya kibinadamu] hakika atauawa; Watu wa nchi watampiga kwa mawe. Nami nitaweka Uso
...read more