You are browsing the Blog for Mwongozo wa Maombi.

Hesabu 16: Mwongozo wa Maombi
4-BSG-16B: MWONGOZO WA MAOMBIMwongozo wa Kujifunza Biblia/ Hesabu 16: Mwongozo wa Maombi/ 4-BSG-16B (Hesabu 16)/ Mada Kuu: Kuomba kwa ajili ya unyenyekevu, utii, na kumcha Mungu mbele ya uasi na kiburi. Tabia za Kukuza:Unyenyekevu mbele za mamlaka ya Mungu.Uaminifu katika uongozi na huduma.Maombezi kwa ajili ya wengine, hata kwa waasi.Kumcha Mungu kwa utakatifu Wake.Umoja na
...read more

Hesabu 13: Mwongozo wa Maombi
4-BSG-13B: MWONGOZO WA MAOMBIHesabu 13: Mwongozo wa Maombi/ 4-BSG-13B/ Dhima: Imani Juu ya Hofu — Kumtumainia Mungu na Ahadi Zake Tabia za Kukuza:Kumwamini Mungu na Neno Lake zaidi ya yale macho yaonayo.Ujasiri wa kumfuata Mungu kwa moyo wote.Kuwatia wengine moyo kuamini ahadi za Mungu.Uvumilivu wa kutembea kwa imani na si kwa hofu. Dhambi za Kuepuka/
...read more

Kuiasi Amri ya Mungu
WAAMUZI 2B: MWONGOZO WA MAOMBI. Waamuzi 2: Mwongozo wa Maombi/ 7-BSG-2B (Waamuzi 2:2, 11-13)/ Dhima: Kuiasi Amri ya Mungu/ Wimbo: Trust and Obey (SDAH 590). Andiko Kuu: “Nanyi msifanye agano lolote na hawa wenyeji wa nchi hii; yapomoeni madhabahu yao. Lakini hamkuisikia sauti Yangu. Kwa nini mmefanya hivi?” (Waamuzi 2:2) Maelezo ya Ufunguzi: Malaika wa
...read more

Kutafuta Maongozi ya Kiungu
WAAMUZI 1B: MWONGOZO WA MAOMBI. Waamuzi 1: Mwongozo wa Maombi/ 7-BSG-1B (Waamuzi 1:1-2)/ Dhima: Kutafuta Maongozi ya Kiungu/ Wimbo: Open my Eyes that I may see! Andiko Kuu: “Sasa baada ya Yoshua kufa ikatokea kwamba wana wa Israeli walimuuliza BWANA, wakisema, ‘Nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu dhidi ya Wakanaani ili kupigana nao?’ Naye
...read more

Anza na Bwana, Agosti 5, 2022
NUSU-KABILA LINGINE LA MANASE (Yoshua 17) Sura hii inahusika na nusu-kabila lingine la Manase, tofauti na ile nusu tuliyoiona katika somo la jana (Yoshua 16:4), ambayo alipokea sehemu yake ya urithi uliogawanyika Magharibi mwa Yordani. Nusu-kabila la kwanza la Manase lilitaka kubaki upande wa Mashariki wa Yordani. Hawakutaka “kuvuka” Yordani katika nchi ya ahadi. Walipenda
...read more