You are browsing the Blog for Usiku.

Israeli Ilimwacha Bwana
WAAMUZI 2Y: SAHAMU YA JIONI. Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Waamuzi 2, (7-BSG-2Y)/ Dhima: Israeli Ilimwacha Bwana/ Wimbo: Don’t forget, That the Lord is in you. [hymnal.net # 771] Andiko Kuu: “Ndipo wana wa Israeli wakafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana, wakawatumikia Mabaali; nao wakamwacha BWANA, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya
...read more

Mambo Manne ya Ushindi
Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Waamuzi 1, (7-BSG-1Y)/ Dhima: Mambo Manne Muhimu kwa ajili ya Ushindi/ Wimbo: Faith is the Victory [Mwandishi: John H. Yates] Andiko Kuu: “Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli wakamwuliza Bwana, wakisema, ‘Ni nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanaani, ili kupigana nao?’ Bwana akasema, ‘Yuda
...read more

Dhambi ya Akani
SAHAMU YA JIONI. Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ 6-BSG-7Y, (Yoshua 7:21)/ Dhima: Dhambi ya Akani/ Wimbo: When Jesus shall gather the nations, [Mwandishi: Harriet Burn McKeever (1885)/ NK #169] Andiko Kuu: “Nilipoona katika nyara joho nzuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha, na kabari ya dhahabu, uzani wake shekeli hamsini, basi nalivitamani nikavitwaa;
...read more

Imani ya Yoshua
WAZO LA USIKU Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ 6-BSG-6Y, (Yoshua 6:6-7)/ Dhima: Imani ya Yoshua/ Wimbo: (Si Mimi, Kristo –NK 17). YOSHUA AMTII MUNGU Aya Kuu: “Bali Yoshua, mwana wa Nuni, akawaita makuhani, akawaambia, Lichukueni sanduku la agano, tena makuhani saba na wachukue tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana.
...read more

Neno Moja Tu
Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Marko 10, (41-BSG-10Y)/ Mawazo ya Kiibada katika Marko 10/ Somo: Umepungukiwa na Neno Moja. Andiko Makini: “Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. ‘Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.’ Walakini yeye akakunja uso kwa neno hilo, akaenda zake kwa
...read more