You are browsing the Blog for Alfajiri.

Mjane na Senti Mbili
Ibada ya Afajiri/ Dhima: Mjane, Maskini na Senti Mbili/ Andiko Makini: Marko 12:41–44; Luka 21:1–4. Fungu Kuu: “Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi. Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa. Akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Amin, nawaambia, Huyu mjane
...read more

Kuingia kwa Ushindi
Ibada ya Afajiri/ Dhima: Kuingia kwa Ushindi/ Andiko Makini: Marko 11:1-11. Fungu Kuu: “Nao watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaza sauti, Hosana; ndiye Mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana; Umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana Juu Mbinguni.” (Marko 11:9–10) Maswali ya Moyoni: Je, hii ilikuwa safari ya kwanza ya Yesu kwenda
...read more

Kijana Tajiri
Ibada ya Alfajiri/ Somo: Kijana Tajiri/ Andiko Makini: Marko 10:17-25. Aya Kuu: “Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. ‘Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.’ Walakini yeye akakunja uso kwa neno hilo, akaenda zake kwa huzuni; kwa sababu alikuwa na mali nyingi. (Marko
...read more

Kuihacha Imani
Ibada ya Alfajiri 81-GCR-A001, (Isaya 1:2-5) Dhambi ya Kuungama & Kuepuka: Mwongozo wa Ungamo na Toba. Dhambi dhidi ya Mungu: KUACHA IMANI BAADA YA KUIJUA KWELI. Isaya 1:2-5 — 2 Sikieni, enyi mbingu, tega sikio, Ee nchi, kwa maana Bwana amenena; Nimewalisha watoto na kuwalea, nao wameniasi 3 Ng’ombe amjua bwana wake, Na punda ajua
...read more

2-BSG-5B (Kutoka 5)
2-BSG-5B: MUHTASARI WA SURA. (Ufupisho, Matukio kwa Ufupi, Mafundisho Makuu, Muhtasari wa Kufundishia) KUTOKA 4-6(1): MUHTASARI WA KUFUNDISHIA Yehova Kuingilia Kati (Sehemu ya 2). 4:1. Mashaka ya Musa. 4:2–9. Uhakikisho wa Kiungu. 4:10. Kutofaa kwa Musa. 4:11. Uwezo wa Kiungu. 4:12. Uvuvio wa Kiungu. 4:13. Ombi la Musa. 4:14a. Hasira ya Kiungu. 4:14b–17. Utendaji wa
...read more