Slideshow shadow
Tubuni; Mfalme Yu Mlangoni.

Tubuni; Mfalme Yu Mlangoni.

Tafakari ya Dakika Mbili Amri katika Agano Jipya Tubuni; Mfalme Yu Mlangoni. 101A-NTC, (Mathayo 3:1–2) “Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi, na kusema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.” (Mathayo 3:1-2) Toba ni kugeuza mwelekeo—kutoka dhambini na kumuelekea Mungu. Kwa hivyo, mahubiri ya Yohana yalikuwa neno moja tu, “tubuni,” lakini
...read more

Mungu Hutaka Haki

Mungu Hutaka Haki

Mungu Hutaka Haki Kila Neno: MT-1A-002, (Mathayo 1:18-20)/Neno Muhimu: dikaios (1:19) mwenye haki, mwadilifu “Hivi ndivyo Yesu Masihi alizaliwa. Mamaye, Mariamu, alikuwa ameposwa na Yusufu. Lakini kabla hajaifungwa ndoa, akingali bikira, akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Yusufu, aliyekuwa amechumbia, alikuwa mtu mwadilifu na hakutaka kumwaibisha hadharani, hivyo akaamua kuvunja uchumba kisiri. Ilhali akiwaza
...read more

Hakuna Kizuizi Dhidi ya Rehema

Hakuna Kizuizi Dhidi ya Rehema

Hakuna Kizuizi Dhidi ya Rehema ya Mungu Kila Neno: MT- 101A, (Mathayo 1:1-17)/ Neno Muhimu: genea (1:1) Vizazi “Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na
...read more

Waamuzi 2: Usomaji, Vidokezo

Waamuzi 2: Usomaji, Vidokezo

WAAMUZI 2D: MDOKEZO WA SURA.  Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Muhtasari wa Sura/ Waamuzi 2, (7-BSG-2D)/ Dhima: Kushindwa kwa Israeli, rehema ya Mungu   Kifupi: Sura hii ina maelezo ya kuvutia ya kutokea kwa Malaika, yenye ujumbe kutoka kwa Yehova kwa Israeli. Sura hiyo inazangatia mtazamo wa matukio ya zamani katika mwenendo wa Israeli chini ya
...read more

Israeli Ilimwacha Bwana

Israeli Ilimwacha Bwana

WAAMUZI 2Y: SAHAMU YA JIONI. Mwongozo wa Kujifunza Biblia/ Waamuzi 2, (7-BSG-2Y)/ Dhima: Israeli Ilimwacha Bwana/ Wimbo: Don’t forget, That the Lord is in you. [hymnal.net #  771]   Andiko Kuu: “Ndipo wana wa Israeli wakafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana, wakawatumikia Mabaali; nao wakamwacha BWANA, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya
...read more